Logo
Z

Zanzibar eGovernment Authority (eGAZ)

53 employees

eGAZ, the Zanzibar eGovernment Authority, is mandated by Act No. 1 of 2024 to lead e-Government initiatives across Zanzibar's public institutions. This includes coordinating, supervising, and promoting e-Government efforts while ensuring the implementation of relevant policies, laws, regulations, standards, and guidelines. eGAZ envisions a highly efficient and effective e-Government system that enhances governance and service delivery in Zanzibar and serves as a model for good governance across Africa. Mamlaka ya Serikali Mtandao Zanzibar (eGAZ), imepewa mamlaka kupitia Sheria Na. 1 ya 2024 kuongoza juhudi za serikali mtandao katika taasisi zote za umma za Zanzibar. Majukumu yake ni pamoja na kuratibu, kusimamia, na kukuza juhudi za serikali mtandao, pamoja na kuhakikisha utekelezaji wa sera, sheria, kanuni, viwango, na miongozo husika. Dira kuu ya wakala ni kuwa na mfumo wa serikali mtandao wenye ufanisi na unaofaa, unaokuza utawala bora Zanzibar na kuwa mfano wa kuigwa barani Afrika.

Basic info

Industry

Government Administration

Sectors

Government Administration

FAQ